2 Timotheo 2:13
Print
Kama hatutakuwa waaminifu, yeye anabaki kuwa mwaminifu, kwa sababu hawezi kujikana mwenyewe.
Tusipo kuwa waaminifu, yeye huendelea kuwa mwaminifu kwa maana hawezi kujikana mwenyewe.
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU) Copyright © 2017 by Bible League International; Neno: Bibilia Takatifu (SNT) Copyright © 1989 by Biblica